NINAYO (www.ninayo.com) ni mtandao unaotoa fursa kwa wanunuzi na wauzaji wa mazao mbalimbali kutangaza mazao yao bure na kuwafikia maelefu ya wateja kwa haraka na urahisi zaidi ndani na nje ya Tanzania.
Tayari wanunuzi na wauzaji wa mazao mbalimbali Kanda ya Ziwa wamefikiwa na mtandao huu ambapo hii leo Mratibu wa Mtandao huo Kanda ya Ziwa, Patrick Tungu ametembelea kampuni ya Kipipa Millers Limited iliyopo Pasiansi Jijini Mwanza na kupokelewa vyema.
Umoja wa Mataifa Yaimwagia Sifa JWTZ
-
* Mwakilishi maalumu wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia
watoto na Migogoro ya Kivita Virginia Gamba akizungumza na Meja Afred
Mwinuka wak...
Post a Comment